SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hata goli la Mayele ni offside ni vile wamebebwa tuu.Yanga akuna team
UjingaKukosekana kwa Haji Manara kwenye uhamasishaji kumeigjarimu Yanga, TFF Mungu anawaona mumetunyima ushindi wa kishindo kwa kumfungia mzungupori wetu
We ndio unawapoteza YangaYanga kimataifa bado sana wanacheza kitoto kama vile wancheza na ruvu kosa lao kubwa toka msimu huu uanze walikosa mechi za ushindani za kimataifa kama wangekuwa na akili kipindi kile wanapigwa na viper wangetafakari kushinda mechi za kununua za bongo kimataifa hutoboi hapo safari yao imeisha
Acha unafiki.Yanga ni timu bora kabisa katika bara hili, huyo Al Hilal tunaenda kumkogesha mvua ya magoli huko kwao leo tulikuwa tunapasha tu. Tutawapiga kama ngoma, alisikika kima mmoja kutoka pori la Utopolo.
Uzalendo ndio unacheza mpira? ππmashabiki wa simba hawana uzalendo kabisa roho mbaya
Jikaze mkuu. Sisi hatukuchezamashabiki wa simba hawana uzalendo kabisa roho mbaya
Huyu ndiye alisema matokeo yana mipira mitatu
Ndio maana nikasema mechi zao nyingi wananunua kuanzia marefa na timu pinzaniWe ndio unawapoteza Yanga
Unavyosema kimataifa bado sana ni kama unakuwa unawapa recognization kuwa kitaifa wako vizuri
Yanga ni nzuri akichezesha Ahmedy Arajiga
Hata angechezeshwa wapi leo alikuwa hana nafasi ya kuepuka lawamaFEI kachezeshwa chini
Kocha kazingua
Mkuu, Leo umekua mzalendoBravo Diarra
Kule watapangwa na Berkane au PyramidsTayari washaangukia CAF Confederation league ππ