FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

We ndio unawapoteza Yanga

Unavyosema kimataifa bado sana ni kama unakuwa unawapa recognization kuwa kitaifa wako vizuri

Yanga ni nzuri akichezesha Ahmedy Arajiga
 
Mpira wa leo haupaswi kutazamwa na mtu ambaye ana ndoto za kuwa golikipa

Kwasababu atajikuta anakatisha ndoto zake kwa kufikiria ule msako aliokuwa anakutana nao mdaka mishale pale langoni ataona hakuwa sahihi kwenye ndoto yake
 
Naona simba mnajisahaulisha kama kesho mna mechi..na mtapigwa kama ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…