Wamepita na ndio maana wamepata hii sareLeo hawajapita mlango wa nyuma?
Wakati wa Yanga kufanyeje?Safarihii watasubiri, niwakati wa Yanga.
Sare!!!Ibenge anakusalimia
Confederation siyo ya caf!?Huh kumbe we unaongelea Confederation?
Timu bovu linacheza kesho,litapgwa tatu nyuma Kama konyagiMlifikiri ni rahisi uto aaaaah. Hiyo ni test uto ambayo msimamizi anakuambia ' you are not required to know your neighbour' yaani pambana na hali yako.
For losersConfederation siyo ya caf!?
Safarihii watasubiri, niwakati wa Yanga.
Unaweza usishibe kwako, ukashiba kwa jirani... Mapambano yataendelea hukohuko kwao...
Uzuri ni kwamba furaha kwa mashabiki bado ipo
Furaha ni kuona Yanga ikizidi kucheza mechi yake ya 44 bila kupoteza, naam hicho kwetu kina maana kubwa sana
Acha sound brooTumecheza makundi caf 2018
Yale makundi aliyotuongoza mwinyi zahera 2018 ilikua Azam confederation!?Acha sound broo
Caf Haina FAFor loosers
Unafikiri nyinyi mkitolewa kwenye haya mashindano mkatupwa FA mtakuwa mme upgrade au downgrade?
Kiongozi naomba statistics za game yenuHaitakua mara ya kwanza Yanga kufuzu ugenini, Alishafanya hivyo Kwa High landers ya Zimbabwe, Township Rollers ya Botswana, Rayon ya Rwanda baada ya matokeo ya sare ya Mojamoja nyumbani.
CAF C.C. mkaburuza mkia.Yale makundi aliyotuongoza mwinyi zahera 2018 ilikua Azam confederation!?
Shots on target tu zinatosha kuonyesha yanga walizidiwa kimbinu uwanjaniMkuu haya hii hapaView attachment 2381239
Hilo hilo confederationCaf Haina FA
Baba jeni bai bai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo makundi ya kiboya hata msimu ulioisha simba alivuka hadi hiyo hatuaYale makundi aliyotuongoza mwinyi zahera 2018 ilikua Azam confederation!?