FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Nasema hivi...nyie hamna timu ya kucheza champions league. Defense yenu ina leak sana magoli.
Hawa wenyewe tuu ni kukosa umakini lakini gemu ilikuwa inaisha hapa hapa taifa
Tumekosa magoli tu, sasa hivi maji wangeyaita mma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ilitakiwa wawekwe goli kipindi cha kwanza ili waendelee kupaki basi kwa kuhofia kuruhusu magoli mengi, sasahivi majamaa yamewazoea[emoji16].
Uto ni hapa hapa tu ww tangu 98 ndo waliingia makundi leo waingie kwa lip walilo nalo
 
Back
Top Bottom