FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Mpira una matokeo matatu. Kufungwa, kushinda na sare, tumetoka sare. Yanga imejitahidi, tumewasoma vizuri, tumeanza kupata goli na kukosa pia. Tumezuia magoli, asante kipa wetu.
Yanga hii hii mnayoidharau leo, huwa inawalaza na viatu. Kama Yanga ni mbovu, basi makolo ni wabovu zaidi yaaa... huwa mnashinda kibahati bahati tu huko...
Sudan tunakuja...
 
Kama unajuwa mpira utakubaliana na mm kuwa level ya Al hilal siyo ya kutisha kwa hvyo hata yanga anaweza pia kupata goli ugenini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio ya kutisha kweli ila kuna kucheza mpira na kushindana! Yanga imecheza mpira ndio nafasi zimetengezwa nyingi lakini kuzibadilisha kuwa magoli imekua ngumu! Kwenye hatua kama hizi timu bora inatengeneza nafasi chache na zote inazitumia! Tujiulize swali jepesi kwa nini Morrison ameonyesha uhai kuliko wachezaji wengine?
 
Kama unajuwa mpira utakubaliana na mm kuwa level ya Al hilal siyo ya kutisha kwa hvyo hata yanga anaweza pia kupata goli ugenini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio ya kutisha kweli ila kuna kucheza mpira na kushindana! Yanga imecheza mpira ndio nafasi zimetengezwa nyingi lakini kuzibadilisha kuwa magoli imekua ngumu! Kwenye hatua kama hizi timu bora inatengeneza nafasi chache na zote inazitumia! Tujiulize swali jepesi kwa nini Morrison ameonyesha uhai kuliko wachezaji wengine?
 
Itabidi sasa huko ugenini Yanga wafunge tu kipindi cha Kwanza. Wasisubiri huo mtindo wao wa kipindi cha 2
 
Bado Uto wananafasi...

Kesho namuombea Mnyama Ushindi
 
Shukran kwa Mwenyezi Mungu.
Ahsante kwa bench zima la ufundi,ahsanteni wachezaji wote,hakika hayo ndo matokeo tuliopangiwa.

Ujumbe kwako goli kipa wetu screen protector pole kwa maswahibu uliyo yapata leo na pia usichoke.

Na hii yanga yetu jamani ni unbeaten [emoji123] bado hatujapoteza.

Daima mbele nyuma mwiko.
 
Yanga kimataifa bado sana wanacheza kitoto kama vile wancheza na ruvu kosa lao kubwa toka msimu huu uanze walikosa mechi za ushindani za kimataifa kama wangekuwa na akili kipindi kile wanapigwa na viper wangetafakari kushinda mechi za kununua za bongo kimataifa hutoboi hapo safari yao imeisha
 
Back
Top Bottom