Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Upo sahihiHaya matamasha waachieni waasisi wenu simba sc, naona mnarukaruka tu hapo.
Kabisa jamaa wameonesha game tamu sana huyu foby ni mutale mchangamfuDakika ya 60 ya mchezo. Muda wowote kuanzia sasa mpira utakamilika
Game tamu sana hii Mimi mdau kutoka kigamboni nime enjoy sana hii gameNaaaam mpira umekamilika
Yanga Management 2:1 Yanga Celebrities
This is Young Africans brotherGame tamu sana hii Mimi mdau kutoka kigamboni nime enjoy sana hii game
Naam na Kuna wadau wetu wapo hapo wanatuwakilisha vyema kabisaMashabiki wamejaa pomoni
Yanga bingwa ππThis is Young Africans brother
Tar 25/7 nilifanya malipo sh elfu 25 jana madogo wananambia chanel hazionekani ikabidi niongeze elfu 3 iwe 28k wananambia zimerudi zote kasoro za michezo hazijarudi. Sasa niko njiani narudi nataka nikifika nianze kuwapigia leo sitaki kuangalizia banda umizaMkuu usithubutu kufanya malipo Leo utakoma jana nilipata tabu sana nimepiga no zote za kwao msaada wananipa baada ya nusu saa
Sawa sandaSupu na chapati mbili.
Bila supu msingejaza uwanja leo.Sawa sanda
Hahaha baada ya jezi kushindwa kununuliwa sio njoo unywe supu na donatyBila supu msingejaza uwanja leo.
Tiketi walikua wanawakunjia kwenye chapati.
Kwan mara nyingine tunapojazaga huwa zinakunjiwa kwenye chapati kama leo?Bila supu msingejaza uwanja leo.
Tiketi walikua wanawakunjia kwenye chapati.