Ana domo kubwa balaa.Jana kulikua hakuna furaha kama hizii 😂
View attachment 3061535
Hongera mkuu maana iyo akili ya maarifa ndo imekuweka apa kwenye uu uziIla kiukweli nimeamini Tanzania ina WEHU.
Imagine watu wameacha kufanya mambo ya msingi kufuatilia Vyura.
Asante Mungu kunipa akili na maarifa.
Ulijaa saa moja,Lini uwanja ulijaa saa nne hata kama ni bure?
Zitoke wapi uliona picha kama izo kwenye uzi wao? 🤣🤣🤣Jana kulikua hakuna furaha kama hizii 😂
View attachment 3061535
Ngoja awape mahubiri baba mchungaji.Makamu wa Rais na mgeni rasmi dkt. Philip Mpango anaingia uwanjani