Sio 7 ni 4Zanzibar Tulienda Kupunguza Idadi Za Magoli Kutoka 20 Hadi Saba.
π€£π€£π€£π€£ Bado hujajipa moyo udugu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulishindwa nawe kuiba? Poleeee uduguu.
Leo hata 30 fungeni, hatuna habari kabisaaa.
Oa tu mkuu,si ulichagua mwenyewe kuwa shabiki wa timu mbovuππππππilitakiwa nioe mwakani ila mmeniwahisha..
Who is this guy....... I HATE YOU..
Niko vyediiii mnooo!!Nikuulize wewe, mimi naongoza 2 lazima niwe poa.
Nakusalimia Tu π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulishindwa nawe kuiba? Poleeee uduguu.
Leo hata 30 fungeni, hatuna habari kabisaaa.
Ngoja tujipange tena mkuu. Ishakuwa noma.Yaani sisi wa kufungwa hadi na Guede? Kmmk
Kweli Yatima hadeki
Umeidharau wewe na nani, mkuu?Hii mechi tumeidharau mapema tunakamilisha ratiba tu mimi hata roho haiumi
Tuwaonee huruma watajinyonga hawaMbona Unawapunguzia Leo Ni 7
SAFI SANAKindakindaki mkuu π€ΈββοΈ
Oyoooooooo.!!! Zawadi gani hiyo mkuu?? π
Asubutuuuuuuu.....Utanipa breastfeeding
Umesahau kumtag brother!πππππͺπͺ!