Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mbu 3 😀Hao ndo mbumbumbu sa. 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbu 3 😀Hao ndo mbumbumbu sa. 😂😂
Huko makolo kuna shida gani?mo yupo,magori yupo, mnamtaka nani? mna wachezaji hadi mliowaiba airport 😀Mwenzako akinyolewa zako tia maji. Simba ikitulia Yanga panawaka,Yanga pakitulia Simba panawaka. Dunia duara
Kolos wana kila kitu na hawana mgogoro waache kuzuga 😀Ilikuwa zamani hiyo Mtani.
Kawaida tuu mbonaa? Tunawaangalia tuu na kuwazoom mnavyopaparuka...kwanza derby ilipoaaaaa...halafu hata kufunga kwenu ni kama mlibahatisha tuu yani ni kama mlioteaa...hahahKalpana vipi hali yako huko baada ya kukandwa goli saba home and away 🤣🤣🤣🤣🤣
Huo upuuzi aliusema nani?Hamkomi, ooh Mo alishamalizana na Djuigui..... kiko wapi?
Kabisa kabisa kabisa..sio kawaida..Hahahaha. Hii si hali ya kawaida siyo?
Mwee...naona wamewatafutieni kombe lengine angalau msitoke kapa....ila ndio mkaze tako leo msije mkambwela tenaKawaida tuu mbonaa? Tunawaangalia tuu na kuwazoom mnavyopaparuka...kwanza derby ilipoaaaaa...halafu hata kufunga kwenu ni kama mlibahatisha tuu yani ni kama mlioteaa...hahah
Scars hiyo game niliiangaliazia hapa kwenye simu yangu kupitia hii link.
Hapana nilifungua link tu nikacheki game
Ile siku ya derby ilikuwa ni bure, nahisi kulikuwa na hitilafuHapana nilifungua link tu nikacheki game
Lipa buku mbili unacheki mwezi mzima, ni bando lako tu.