ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Karibu Yanga!Nichomoe nini? Mbona umeanza kunisimanga saana
Nunua na jersey kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Yanga!Nichomoe nini? Mbona umeanza kunisimanga saana
Who is this guy? 😁Oyaaa [emoji23]
Jezi ya yanga ninayo. Na navalishwa Kwa lazima. Nyinyi mabinti mnaushawishi mnoo.Karibu Yanga!
Nunua na jersey kabisa
Umeoa dogodogo! Mtu mzima mwenzako asingekufanyia hivi😂Jezi ya yanga ninayo. Na navalishwa Kwa lazima. Nyinyi mabinti mnaushawishi mnoo.
Imagine unaambiwa ili upate papuchi uje na jersey ya yanga.
Ukipenda boga, penda na ua lakeJezi ya yanga ninayo. Na navalishwa Kwa lazima. Nyinyi mabinti mnaushawishi mnoo.
Imagine unaambiwa ili upate papuchi uje na jersey ya yanga.
Maua mengine tabu tupuuu.Ukipenda boga, penda na ua lake
Na kuyaacha huwezi..!!Maua mengine tabu tupuuu.
Hamna namna. Mambo ya ❤️💚Na kuyaacha huwezi..!!
Mshindi wewe😎
GoodEnjoy
Bado tu hamkui kimpira kwamba kuongoza kwa ball possession, shots on target, pass accuracy na conners si vigezo vya timu yoyote kushinda mechi?Mimi huwa ni mnyoofu katika thread zangu. Nimeongelea tukio la kweli na si ushabiki. Na si mara ya Kwanza namsema Chama maana ni mchezaji ninayemkubali Sana. Hebu fikiria Simba wangecheza pungufu tangu dakika ya 57 nini kingewapata Jana?
Guede boyWho is this guy? [emoji16]
😂😂😂Msife tutakosa wa kuwatania. 🤣
Kabeesaaa rafiki. 💛💚Acha waugulie sie waleeeeeee💚💛🕺🕺🕺😂!
Cc @Snart911
🤪🤪🤪[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati huo ilikua bado.