FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC.

Yanga akiwa mwenyeji anaingia akijiamini huku ana kumbukumbu nzuri ya mchezo wa mwisho aliomchapa mtani wake bado 5-1.

Je, unadhani nani ataibuka mbabe wa mbungi hii?

Kaa namni kwenye uzi huu kupata kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.

Let's Goooooo!!

Mbungi linanukia wanangu...

View attachment 2969256
Kikosi cha Yanga kinachoanza

View attachment 2969261
Kikosi cha Simba kinachoanza
---
Mpira umeanza huku timu zote zikishambuliana kwa kasi

5' Yanga 0 - 0 Simba

10' Yanga 0 - 0 Simba

11' Inonga ameumia kaingia Hussein Kazi

15' Yanga 0 - 0 Simba

Yanga wanapata penati dakika ya 19

Gooooooal Aziz Ki

20' Yanga 1 - 0 Simba

25' Yanga 1 - 0 Simba

30' Yanga 1 - 0 Simba

35' Yanga 1 - 0 Simba

37' Guedeeeeee anatupia la pili

40' Yanga 2 - 0 Simba

45' Yanga 2 - 0 Simba

HT: Yanga 2 - 0 Simba

50' Yanga 2 - 0 Simba

55' Yanga 2 - 0 Simba

60' Yanga 2 - 0 Simba

65' Yanga 2 - 0 Simba

75' Gooooooal Fred anaipatia Simba bao la kwanza

75' Yanga 2 - 1 Simba

80' Yanga 2 - 1 Simba

85' Yanga 2 - 1 Simba

90' Yanga 2 - 1 Simba

Dakika 5 zimeongezwa

FT: Yanga 2 - 1 Simba

Bye bye til next time
MKUU NINA MAONI KAMA UNAONA ITAFAA YAFANYIE KAZI ISIPOFAA PIA NI SAWA

WADAU WENGI WANAKULALAMIKIA UMEKIMBILIA KUANZISHA UZI NA VILEVILE UKAUKIMBIA KUTOA LIVE UPDATES YA NINI KINAENDELEA

Kuna raia wengine huwa wanategemea kuangalia updates kupitia JF, sasa tunavyojua muanzishaji wa uzi ndio kwa % kubwa atoe updates za uhakika badala yake unasaidiwa na wengine kutoa taarifa.. Hakikisha unapotoa updates kama ulivoahidi hapo juu uwe bega kwa bega kutoa taarifa za matokeo/matukio uwanjani

Anyways sijajua ni kujisahau ukawa busy au mashindano tu kuonekana ulianzisha uzi kuweka historia au vipi..

All in All ikikupendeza fanyia kazi maoni na ushauri wangu, ila kama una mipango yako ni sawa pia na nisamehe kama kuna mahali nimekukwaza lakini yote ni kwa ajili ya kujenga tu[emoji120]
 
MKUU NINA MAONI KAMA UNAONA ITAFAA YAFANYIE KAZI ISIPOFAA PIA NI SAWA

WADAU WENGI WANAKULALAMIKIA UMEKIMBILIA KUANZISHA UZI NA VILEVILE UKAUKIMBIA KUTOA LIVE UPDATES YA NINI KINAENDELEA

Kuna raia wengine huwa wanategemea kuangalia updates kupitia JF, sasa tunavyojua muanzishaji wa uzi ndio kwa % kubwa atoe updates za uhakika badala yake unasaidiwa na wengine kutoa taarifa.. Hakikisha unapotoa updates kama ulivoahidi hapo juu uwe bega kwa bega kutoa taarifa za matokeo/matukio uwanjani

Anyways sijajua ni kujisahau ukawa busy au mashindano tu kuonekana ulianzisha uzi kuweka historia au vipi..

All in All ikikupendeza fanyia kazi maoni na ushauri wangu, ila kama una mipango yako ni sawa pia na nisamehe kama kuna mahali nimekukwaza lakini yote ni kwa ajili ya kujenga tu[emoji120]
Mwambie huyooo 😁😁🤣
 
Yanga ni mbovuu...ila Simba imechezewa kichawi aisee sio kawaida...
Timu imejaa wachezaji wazee! Mnasajili maproo wengi wa kiwango cha kawaida, halafu mnategemea kupata maajabu!

Msipokubali kubadilika, Yanga atakuwa mbabe wenu kwa miaka 10 mfululizo. Mjifunze kusajili wachezaji vijana wa kiwango cha Stephen Aziz Kii ili mfaidi matunda yao. Chama na Saidoo, wameshajichokea kwa sasa. Na hivyo hawana maajabu.
 
Mmejiroga wenyewe sajili vijana na sio wazee Saidoo ana 36 unategemea ninj
Vijana wanachomesha si unaona Yule beki anaitwa Kazi. Sijui mlimpa bahasha maanaa kampa Pasi azizi kirahisi saana
 
Back
Top Bottom