Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Najua tu 🤐🤨Nakusalimia tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua tu 🤐🤨Nakusalimia tu mkuu
Shemeji 😂😁😁😁Utopolo akishinda nipigwe ban la mwaka
UBUNTU BOTHO 🔥🔥🔥
MKUU NINA MAONI KAMA UNAONA ITAFAA YAFANYIE KAZI ISIPOFAA PIA NI SAWAHoma ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC.
Yanga akiwa mwenyeji anaingia akijiamini huku ana kumbukumbu nzuri ya mchezo wa mwisho aliomchapa mtani wake bado 5-1.
Je, unadhani nani ataibuka mbabe wa mbungi hii?
Kaa namni kwenye uzi huu kupata kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
Let's Goooooo!!
Mbungi linanukia wanangu...
View attachment 2969256---
Kikosi cha Yanga kinachoanza
View attachment 2969261
Kikosi cha Simba kinachoanza
Mpira umeanza huku timu zote zikishambuliana kwa kasi
5' Yanga 0 - 0 Simba
10' Yanga 0 - 0 Simba
11' Inonga ameumia kaingia Hussein Kazi
15' Yanga 0 - 0 Simba
Yanga wanapata penati dakika ya 19
Gooooooal Aziz Ki
20' Yanga 1 - 0 Simba
25' Yanga 1 - 0 Simba
30' Yanga 1 - 0 Simba
35' Yanga 1 - 0 Simba
37' Guedeeeeee anatupia la pili
40' Yanga 2 - 0 Simba
45' Yanga 2 - 0 Simba
HT: Yanga 2 - 0 Simba
50' Yanga 2 - 0 Simba
55' Yanga 2 - 0 Simba
60' Yanga 2 - 0 Simba
65' Yanga 2 - 0 Simba
75' Gooooooal Fred anaipatia Simba bao la kwanza
75' Yanga 2 - 1 Simba
80' Yanga 2 - 1 Simba
85' Yanga 2 - 1 Simba
90' Yanga 2 - 1 Simba
Dakika 5 zimeongezwa
FT: Yanga 2 - 1 Simba
Bye bye til next time
Karibu sana mtani 😂🤣😂😁Nitaongea baada ya mechi..kwa sasa natoka nje ya mji kidogo hakuna network...
Mwambie huyooo 😁😁🤣MKUU NINA MAONI KAMA UNAONA ITAFAA YAFANYIE KAZI ISIPOFAA PIA NI SAWA
WADAU WENGI WANAKULALAMIKIA UMEKIMBILIA KUANZISHA UZI NA VILEVILE UKAUKIMBIA KUTOA LIVE UPDATES YA NINI KINAENDELEA
Kuna raia wengine huwa wanategemea kuangalia updates kupitia JF, sasa tunavyojua muanzishaji wa uzi ndio kwa % kubwa atoe updates za uhakika badala yake unasaidiwa na wengine kutoa taarifa.. Hakikisha unapotoa updates kama ulivoahidi hapo juu uwe bega kwa bega kutoa taarifa za matokeo/matukio uwanjani
Anyways sijajua ni kujisahau ukawa busy au mashindano tu kuonekana ulianzisha uzi kuweka historia au vipi..
All in All ikikupendeza fanyia kazi maoni na ushauri wangu, ila kama una mipango yako ni sawa pia na nisamehe kama kuna mahali nimekukwaza lakini yote ni kwa ajili ya kujenga tu[emoji120]
Tulia wewe 😂😁Si kweli
EnjoyTumeenda nayo na tumeshinda
una la kusema?
Tumechoka kwakweli....mpaka hatuna nguvu tena
Timu imejaa wachezaji wazee! Mnasajili maproo wengi wa kiwango cha kawaida, halafu mnategemea kupata maajabu!Yanga ni mbovuu...ila Simba imechezewa kichawi aisee sio kawaida...
Pole mkuuYanga ni mbovuu...ila Simba imechezewa kichawi aisee sio kawaida...
HahahahahaNitaongea baada ya mechi..kwa sasa natoka nje ya mji kidogo hakuna network...
Pole ya nini akati mlifunga goal 1?Mbona hujanipa pole? Ila yanga wwchawi saanaa
Nyinyi mmetupulizia midawa. Mmezingua saaana.Pole ya nini akati mlifunga goal 1?
Nyie ndio wachawi sio kwa mashuti yale ya Azizi ki yaliyokua off target
Mmejiroga wenyewe sajili vijana na sio wazee Saidoo ana 36 unategemea ninjNyinyi mmetupulizia midawa. Mmezingua saaana.
Vijana wanachomesha si unaona Yule beki anaitwa Kazi. Sijui mlimpa bahasha maanaa kampa Pasi azizi kirahisi saanaMmejiroga wenyewe sajili vijana na sio wazee Saidoo ana 36 unategemea ninj
Vijana wanachomesha si unaona Yule beki anaitwa Kazi. Sijui mlimpa bahasha maanaa kampa Pasi azizi kirahisi saana
😂 mtacheza ad salsa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] had Golf mwayaaaa.