Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Waende ZanzibarNini kifanyike kipindi cha tatu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waende ZanzibarNini kifanyike kipindi cha tatu?
Nguruwe fcUTOPORO LEO ATAKUFA
ATAKE ASITAKE
KARIAKOO NI NYEKUNDU♨️♨️
🛑🛑🛑🛑
Poleeeeeh!!!Mimi timu yangu ilishacheza Toka saa 11 jioni
Hainihusuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Simba SC Leo umekula chuma mbili View attachment 2969424
Kulikuwa na umuhimu gani wa kwenda Zanzibar sasa!😄Hainihusuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu hii ilikuwa badi ujue n tofauti na nyingineMechi ngapi za Simba hujaniona jukwaani na hukuwahi kuuliza nipo wapi?
Umeona hii tu ndio ya muhimu napo kwasababu umeshinda?
Aise shida ilianzia hapaSimba 4-Yanga 0...
Ulimaanosha anashinda njaa?Leo simba anashinda 3,
😀🤣🤣Kitu puturu mdiso 24/7 Yanga leo wanabakwa.
Ni kweliYanga ni mbovuu...ila Simba imechezewa kichawi aisee sio kawaida...