cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuja masandawanaaaa.KAMA UNAONA UMEONEWA NJOO TENA!
CHAGUA UWANJA WEWE MWENYEWE TUALIKE HATA SAA SABA USIKU TUJE TUKUNYOOSHE TENA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuja masandawanaaaa.KAMA UNAONA UMEONEWA NJOO TENA!
CHAGUA UWANJA WEWE MWENYEWE TUALIKE HATA SAA SABA USIKU TUJE TUKUNYOOSHE TENA
Ulivowasifia mtani mechi zote mbili eti ulisema wana temba zwane 😂😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuja masandawanaaaa.
Ya masandawana yana ladhaa tamuuu mnooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Simba magoli yenu mengi si mnashinda kwa penati
Kabla ya mechi ya yanga mlidraw kwa kwa penati
Penati ni goli kama magoli mengine japo halina ladha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] had Golf mwayaaaa.[emoji23] na bado utatazama hadi criketi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masandawanaaa wanakusabahiiii!!! Vipi leo uko kwa Experance? WoiiiiiihMbili fc mtani
Kwa hiyo atapoteza mechi tatu. Tutasimulia kwa karne nyingiMuda Bado sana
Bado mechi 10
Msijisahaulishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Imeishaaaa hiyoooo.[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jipange mwakani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo themba zwane leo ana cheza na experance semi final, wee aziz kii, nzengeli na zoazoa wako wapiiii?Ulivowasifia mtani mechi zote mbili eti ulisema wana temba zwane [emoji23][emoji16][emoji16]
Ni hatari sanaNdio anasikia inaendelea huko mtaani
Wewe Simba SC Leo umekula chuma mbili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo themba zwane leo ana cheza na experance semi final, wee aziz kii, nzengeli na zoazoa wako wapiiii?
Hujistukiiiii?
😁😂😁😁😁😁😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Imeishaaaa hiyoooo.
Mimi timu yangu ilishacheza Toka saa 11 jioni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masandawanaaa wanakusabahiiii!!! Vipi leo uko kwa Experance? Woiiiiiih
Simba mbovuUmekupiga bao mbili huo
Polee sana mtaniSimba mbovu
🤣😂😁😁😁😁Mechi ngapi za Simba hujaniona jukwaani na hukuwahi kuuliza nipo wapi?
Umeona hii tu ndio ya muhimu napo kwasababu umeshinda?