Bora ungeendelea kuwangalia tae so,so suh no,hae mo su,lady yu hwa na wengine wengi🤣Inauma kwa kweli sema ndo hivyo tena tufanye nini. Kinachonikera zaidi majirani zangu ni Mautopolo mtupu halafu naona kama yamefanya makusudi kuja kuangalia mechi ghetton wakati mwenyewe nilikuwa naangalia tamthilia ya Jumong😡
Haujui mpira wewe kaangalie lile goli ndo utaona no offside au n wew huna machoMigoli Yenyewe ya penati na offside
Ahahaha
Napenda ipite/ikufikie wewe moja kwa moja mkuuZawadi atanipokelea chawa wangu Half american ukimpa inafika bila tatizo 🤣🤣🤣
Nipike nini, naangalia mpira kwanzaUshapika?
Hiv bado tu hawajaongeza goli???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado 2, wanachelewesha, watu tunataka mabao mengi ili machungu yapoeee. WoiiiiiihHiv bado tu hawajaongeza goli???
Inabidi apimwe akiliKwakweli kama kuna mwanasimba alidhani leo atashinda labda njaa
Ngoja nije nikute hakijaiva 🦁Nipike nini, naangalia mpira kwanza