Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Majira ya saa 1:00 usiku, mabingwa watetezi wa taji, Yanga SC watashuka dimbani kumenyana na Azam Fc katika muendelezo wa ligi kuu ya NBC.
Yanga itashuka dimbani kutafuta alama 3 huku Azam Fc nayo ikijaribu kutafuta alama 3 huku ikiwa haina kocha mkuu.
Mechi inategemewa kuwa ngumu na ushindani, tukutane hap kwa live updates.
Mchezo unaendelea, Azam FC imekuwa ikitanguli mara zote kisha Yanga inarejesha mashambulizi, mabao ya Azm FC yamefungwa na Daniel Amoah dakika ya 25 na Malickou Ndoye dakika ya 65.
Mabao ya Yanga yote yamefungwa na ni Feisal Toto katika dakika ya 57 na 77.
Mashambulizi ni makali, hakuna timu ambayo inakaa nyuma, kila upande unapanda kushambulia unapopata nafasi hiyo.
Zimeongezwa Dakika 3
Mchezo umemalizika kwa matokeo ya 2-2.
Yanga itashuka dimbani kutafuta alama 3 huku Azam Fc nayo ikijaribu kutafuta alama 3 huku ikiwa haina kocha mkuu.
Mechi inategemewa kuwa ngumu na ushindani, tukutane hap kwa live updates.
Mchezo unaendelea, Azam FC imekuwa ikitanguli mara zote kisha Yanga inarejesha mashambulizi, mabao ya Azm FC yamefungwa na Daniel Amoah dakika ya 25 na Malickou Ndoye dakika ya 65.
Mabao ya Yanga yote yamefungwa na ni Feisal Toto katika dakika ya 57 na 77.
Mashambulizi ni makali, hakuna timu ambayo inakaa nyuma, kila upande unapanda kushambulia unapopata nafasi hiyo.
Zimeongezwa Dakika 3
Mchezo umemalizika kwa matokeo ya 2-2.