OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
sio cha pili ni cha wakaa benchi wamepewa na wao nafasi ya kuchezaEti kocha Wa Yanga baada ya SARE anadai eti alichezesha kikosi cha pili watanzania Kwa utetezi
Wewe ulitoa nao ngapi ngapi?Habari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora
Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
Yaan wewe jamaha ni chizi achana na ushabiki wa kipumbavu hii ndo first eleven ya yangaHabari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora
Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
Mimi sio timuWewe ulitoa nao ngapi ngapi?
Nilipoona umeandika "jamahi"Yaan wewe jamaha ni chizi achana na ushabiki wa kipumbavu hii ndo first eleven ya yanga
Nilipoona umeandika "jamaha" tu nikajua hili gongo wazi tejaYaan wewe jamaha ni chizi achana na ushabiki wa kipumbavu hii ndo first eleven ya yanga
mkuu upo?Habari nilizozipata jana jioni ni kwamba Yanga SC kikosi cha kwanza ilicheza kikosi cha kwanza na kutoka sare na Rhino ya Tabora
Huu ni mwendelezo wa Yanga kukamatiwa chini na timu za ligi daraja la kwanza baada ya kutoka sare na Kinondoni MC
Nipo mkuu,nakuona upomkuu upo?
Mbona kocha mkuu wa Yanga cyo Mtanzania Mkuu?Eti kocha Wa Yanga baada ya SARE anadai eti alichezesha kikosi cha pili watanzania Kwa utetezi