FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Aziz Ki ni kama amechezeshwa off position...
 
Mzizeeee...anapaisha

Mzize akiwa nje kidogo ya mstari wa 18, anapiga shuti linapaa kidogo juu ya mtambaa panya...
 
Clement Mzize hana kabisa utulivu. Katika nafasi 5, anaweza asipate hata moja!! Akifanikiwa kuwa na utulivu, atakuwa ni mshambuliaji hatari sana nchini.
 
Dk 25

Yanga 0 - 0 Rivers

Mpira umesimama...

Taa zimezima baadhi ya maeneo...na sasa uwanja mzima ni giza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…