Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mwananchi mwenzangu umeadimika sana. Tutafutane bhana. Maisha yenyewe ni mafupi haya.Kila lakheri Yanga , kama kawaida usituangushe 🤪
Wanalinda walichonachoWananchi wanacheza as if wapo ugenini.
Sijui anaharaka ya nini me ananiboaaa[emoji19]Mzize hajatulia kabisa
Itabidi maana anajifunua mbele ya watotoMkate kichwa tuu[emoji23][emoji23][emoji41]