Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Mkuu malizia na kwamba mmetetea kombe lenu la Robo FainaliVitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..
Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mashabiki wa simba wana vidomoVitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..
Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Bwaaaaaaaaaaaaaaah....[emoji1787]Mkuu malizia na kwamba mmetetea kombe lenu la Robo Fainali
nasikia mmetuma wahuni wakapulizie sumu kwenye gari la rivers halafu mmewaibia hela zao za matumizi
Mambo yenu ya kufurushwa hayatuhusuVitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..
Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sijaona ubaya wa kuanzisha thread mapemaNiseme tu wazi nakemea na inaudhi sana mechi ya SAA moja usiku mtu anaanzisha thread mid night, huu ni ujinga kusema ukweli.
Maxence Melo lipokee hili na lifanyiwe kazi ikiwezekana game Kubwa thread ya Live iwe ni jukumu la moderator na thread ya porojo kama hii iachwe kwa ajili ya porojo za mashabiki.
Maana thread ya hivi muda wa mechi ukifika unakuta page kibao hujui uanzie wapi.
Hii tabia inaota mizizi kwenye hili jukwaa ni vizuri ikatafutiwa ufumbuzi, mpaka mtu anaweza kudhani kuna malipo yanatolewa kwa atakayewahi kufunguwa thread ya mechi, huu ni ujinga.
Mungu ibariki Yanga ...Mungu ibariki TanzaniaNi siku ya kipekee siku ya kihistoria katika soka la nchi yetu ambapo tunaweza kushuhudia timu kutoka Tanzania kwa mara ya kwanza ikitinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika.
Timu hiyo si nyingine Bali ni Mabingwa wa nchi na vikombe vyote nchini na ambao ndio wawakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki na kati katika michuano ya kimataifa Young Africans almaarufu Yanga.
Leo jioni wanashuka dimbani Estadio de Benjamini Mkapa kumenyana na Rivers United katika hatua ya robo fainali kombe la shirikisho barani Afrika.
Ikumbukwe mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa kule Nigeria, Yanga walipata ushindi wa mabao 2-0, Hivyo wataingia Uwanjani wakiwa na kiu ya kuendeleza ubabe wao mbele ya mapopo na kutinga nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa barani Afrika.
Pia Yanga watakuwa na kiu ya kulipa kisasi cha kufungwa na hawa Rivers nje ndani hivyo watakuwa na kila sababu ya kupata ushindi kwenye ardhi ya nyumbani,
Mchezo huu utapigwa mishale ya saa 1.00 usiku na utarushwa na Azam Sports kupitia channel ya ZBC2
View attachment 2604213View attachment 2604214
Nyie mmewahi kufika hiyo robo ya wakubwa🫣🫣Mkuu malizia na kwamba mmetetea kombe lenu la Robo Fainali
Hayawahusu vipi wakati mlikesha kutazama mpira wa wakubwa, utopolo shida sana[emoji1787][emoji1787]Mambo yenu ya kufurushwa hayatuhusu
Robo fainali FC acha wivu wa kike sawa nenda kanye ulaleVitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..
Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hiyo mechi ndiyo itakayo mfukuza kocha wa robo fainali FC 😂Vitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..
Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kundi lenu lilijaa VIBONDE na wote mmetolewa robo hapo hapo.Vitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..
Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]