FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Wananchi hatuongei na watu amabo awaja wahi kufika nusu fainali kimataifa
 
Yanga imeleta heshima kwa nchi, imeonyesha nusu fainali unafika vp
 
Eti and one CAF taitooooo
Taitooo taitoo ya nyokwee
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
 
Rivers wanapata freekick...

Unapigwa muwa, Mauya anaokoa na kuwa kona...inapigwa kona na kipa anaokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…