mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Mabingwa wa kutandaza soka tamu, soka la kuvutia, soka la kumtoa nyoka pangoni, soka ice cream, soka lenye viwango vya Dunia, hapa nawazungumzia Young Africans leo mida ya saa 1.00 usiku watashuka pale dimba la Benjamini Mkapa kutafuta alama tatu zingine ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia robo fainali ya michuano ya shirikisho barani Afrika.
Ikumbukwe kuwa mchezo wa awali uliopigwa huko nchini Mali timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufungana 1-1 hivyo mchezo wa leo utakuwa mkali kwa timu zote.
Timu zote zimeshaingia kiwanjani na kinachosubiriwa ni kipyenga cha mwamuzi ili kuashiria kuanza kwa mchezo huu
”"""""'"""''''''''''''''''"""""""""""'''''''''''''''''''''''''
00" Mpira umeanza As Real Bamako ndio wameanza kukanyaga gozi la ng'ombe
07" Gooooal..... Fiston Mayele anapachika goli la kwanza Kwa Yanga..
Ni shangwe hapa Benjamini Mkapa Wananchi wamenza Kwa Kasi kubwa
20" Yanga bado wanaongoza bao Moja Kwa bila huku wakitandaza mpira safi mpira mtamu kama asali..
40" Mabadiliko Kwa Yanga ameumia Tuisila Kisinda ametoka kaingia Jesus Moloko
45+3" Dakika 3 za nyongeza kuelekea mapumziko.. bado matoke Yanga inaongoza kwa goli moja
Naam ni mapumziko wachezaji wa timu zote mbili wanaelekea vyumbani kupata mawaidha ya walimu wao.
Tukutane kipindi cha pili
49' Mchezo hauna kasi
55' Yanga wanafanya mashambulizi
Bangala anakosa penati
68' Gooooooooooooooooo
Moloko anaipatia Yanga goli la pili baada ya beki wa Bamako kujichanganya
90" Zimeongezwa Dak 4, Yanga bado ipo mbele Kwa goli 2-0
Naaam mpira umekwisha kwa Young Africans kuibuka na ushindi wa magoli mawili Kwa bila hivyo kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia robo fainali.
Hadi wakati mwingine... Tchaoooo
Ikumbukwe kuwa mchezo wa awali uliopigwa huko nchini Mali timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufungana 1-1 hivyo mchezo wa leo utakuwa mkali kwa timu zote.
Timu zote zimeshaingia kiwanjani na kinachosubiriwa ni kipyenga cha mwamuzi ili kuashiria kuanza kwa mchezo huu
”"""""'"""''''''''''''''''"""""""""""'''''''''''''''''''''''''
00" Mpira umeanza As Real Bamako ndio wameanza kukanyaga gozi la ng'ombe
07" Gooooal..... Fiston Mayele anapachika goli la kwanza Kwa Yanga..
Ni shangwe hapa Benjamini Mkapa Wananchi wamenza Kwa Kasi kubwa
20" Yanga bado wanaongoza bao Moja Kwa bila huku wakitandaza mpira safi mpira mtamu kama asali..
40" Mabadiliko Kwa Yanga ameumia Tuisila Kisinda ametoka kaingia Jesus Moloko
45+3" Dakika 3 za nyongeza kuelekea mapumziko.. bado matoke Yanga inaongoza kwa goli moja
Naam ni mapumziko wachezaji wa timu zote mbili wanaelekea vyumbani kupata mawaidha ya walimu wao.
Tukutane kipindi cha pili
49' Mchezo hauna kasi
55' Yanga wanafanya mashambulizi
Bangala anakosa penati
68' Gooooooooooooooooo
Moloko anaipatia Yanga goli la pili baada ya beki wa Bamako kujichanganya
90" Zimeongezwa Dak 4, Yanga bado ipo mbele Kwa goli 2-0
Naaam mpira umekwisha kwa Young Africans kuibuka na ushindi wa magoli mawili Kwa bila hivyo kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia robo fainali.
Hadi wakati mwingine... Tchaoooo