mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Machampioni watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans S.C almaarufu Yanga leo wanashuka dimbani kuzisaka alama 3 dhidi ya Geita Gold kutoka mkoani Geita katika mwendelezo wa ligi kuu ya Nbc...
Mchezo huo utakuwa mgumu kwa timu zote kwani Yanga wanataka kushinda ili kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi huku na Geita nao wakiitaji alama zote tatu ili kujiweka sawa kwenye msimamo wa ligi.
Ikumbukwe kuwa toka wamepanda ligi kuu, Geita Gold wamepoteza Michezo yote waliyokutana na Yanga hivyo mchezo wa leo utakuwa mgumu zaidi maana wamepania kufuta uteja kwa Yanga.
Mchezo utapigwa majira ya saa 12:15 jioni pale katika dimba la Azam Chamazi Complex
Mchezo huo utakuwa mgumu kwa timu zote kwani Yanga wanataka kushinda ili kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi huku na Geita nao wakiitaji alama zote tatu ili kujiweka sawa kwenye msimamo wa ligi.
Ikumbukwe kuwa toka wamepanda ligi kuu, Geita Gold wamepoteza Michezo yote waliyokutana na Yanga hivyo mchezo wa leo utakuwa mgumu zaidi maana wamepania kufuta uteja kwa Yanga.
Mchezo utapigwa majira ya saa 12:15 jioni pale katika dimba la Azam Chamazi Complex