FT | Yanga S.C 4-1 Prisons: Azam Federation Cup: Uwanja wa Chamazi, 03/03/2023

Nipewe jibu sio maelezo au na wewe ni mbumbumbu FC aka dunduka?
Hata ukipewa jibu sasa kama hauna akili utajuaje kama umejibiwa?

Ili uelewe unatakiwa utume picha yako tuthibitishe kama ni Kikwete au Sunday Manara
 
Ukienda uzi wa Kibu Vs Mayele comment yake inachekesha sana "Eti hata Onyango akizaza ata mzidi Mayele kwa magoli" 😆😆😆
Kibu yupo kwenye mpito tu na saivi ameanza ku recovery....soon mtaanza kuuona ule uzi ni sumu kwenu shauri lenu
 
Hata ukipewa jibu sasa kama hauna akili utajuaje kama umejibiwa?

Ili uelewe unatakiwa utume picha yako tuthibitishe kama ni Kikwete au Sunday Manara
[emoji28][emoji28][emoji28]

Dunduka vipi wewe picha huoni au?
 
Afu naskia Mayele leo yeye na Kipa lakini kakosa

Taratibu tutaanza kusomana tu
 
Ushindi wa mchongo huu. Napanga kuacha kuangalia game zenu aisee labda za kimataifa maana huko ujinga mnaofanya huku hamuwezi kuufanya kule.
Game za Yanga nyingi nikiangalia macho yanauma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…