FT | Yanga S.C 4-1 Prisons: Azam Federation Cup: Uwanja wa Chamazi, 03/03/2023

Kwahiyo nyinyi mnavyochezaga pungufu na timu pinzani, mnapopata penalt huwa linakuwa pengo la nani?
Hatujawahi kuvimba kumtambia mtu, kwasababu tunafahamu wapinzani walikuwa outnumbered

Lakini nyie pushups mbili tu tayari mshaanza kutembea vifua wazi mitaani na kupush wazee njiani kuwalazimisha wakuite Mike Tyson
 
Pamoja na yote ila Mayele hata asipofunga uwepo wake uwanjani na Kazi yake inakuwa muhimu sana kwao timu .
Kisinda leo hakupewa nafasi kabisa au Nabi aliamua kumpumzisha kuhofia majeraha kwasababu ni star wa kikosi cha kwanza tegemeo kwenye mechi muhimu?
 
Kisinda leo hakupewa nafasi kabisa au Nabi aliamua kumpumzisha kuhofia majeraha kwasababu ni star wa kikosi cha kwanza tegemeo kwenye mechi muhimu?
Ina maana hukumwona? Simba huwa matiratira!
 
Kawaida yake huyo mwamba! Timu zote za Tanzania zimepigwa matobo na Aziz Ki!
Uto mnapenda kupagawishwa na vitu vidogo afu vya kishamba

No wonder mameneja wenu baada ya kuwasikia wachambuzi wakisifia wachezaji kuhusu mikimbio nao wakaingia mkenge kunsajili Kisinda
 
Hatujawahi kuvimba kumtambia mtu, kwasababu tunafahamu wapinzani walikuwa outnumbered

Lakini nyie pushups mbili tu tayari mshaanza kutembea vifua wazi mitaani na kupush wazee njiani kuwalazimisha wakuite Mike Tyson
Ushindi ni ushindi, kama nyinyi na timu yenu ya mabua, hamuiamini. Msitake wote tusiamini timu zetu.

Sisi tunaiamini Yanga na inatupa matokeo, yale tunataka kuyaona.
Hatuoni pengo wala mwanya wa Feisal.
 
Ushindi ni ushindi, kama nyinyi na timu yenu ya mabua, hamuiamini. Msitake wote tusiamini timu zetu.

Sisi tunaiamini Yanga na inatupa matokeo, yale tunataka kuyaona.
Hatuoni pengo wala mwanya wa Feisal.
Mechi ya leo japo sijaangalia ila haikuwa na intensity kubwa, hamkukutana na aina ya mpinzani ambaye mnapishana

Sasa kwa situation hiyo ni matusi kusema No Feisal kwasababu mechi hii mmeshinda
 
Sio Ruvu ni hawa hawa Prisons.
 
Pamoja na kulijua hilo lakini bado mkaendelea kumhadaa Kibu
Hakuna forward anayekosa magoli ila inaangalia mfano ikawa nafasi 5 ukashinda 3 na kukosa mbili za wazi hakuna lawama hata ikawa 4 akafunga mbili hakuna lawama .

Man U kuna Weghorst forward hafungi
anakosa magoli ya wazi ila kocha anampanga kila mechi kutokana na mchango wake mkubwa kwa timu tofauti na kufunga na hilo kila mtu na wachambuzi wanakubali jamaa ni mtu Kazi .Ni Sawa na Mayele hata asipofunga anasaidia kubuild mashambulizi ,kuwapa presha mabeki na kutengeneza nafasi kwa wengine tofauti na Kibu anaasilimia ndogo sana kukupa vitu hivyo .

Hata mashabiki wa Simba vinanda umiza ilikuwa akianza Kibu au akiwa anaingia kutokea benchi wanaoanza kulaumu na kutukana coz wanajua hana mchango mkubwa na ataikosesha magoli mengi halafu Mayele ninachomkubali anakugunga hata sehemu ngumu kabisa huku amezungukwa na mabeki tofauti na Kibu hana maaamuzi ya haraka ,speed hata kuwahaadaa mabeki apate nafasi ya kufunga kama akizungukwa hawezi.
 
Mechi ya leo japo sijaangalia ila haikuwa na intensity kubwa, hamkukutana na aina ya mpinzani ambaye mnapishana

Sasa kwa situation hiyo ni matusi kusema No Feisal kwasababu mechi hii mmeshinda
Toka amekacha kuja kucheza, hatujapungukiwa na kitu. So akiwepo, asiwepo yote ni sawa.
Pia hii ilikuwa ni mechi ya Yanga na Prisons...
Haikuwa Yanga dhidi ya Feisal wala Madunduka FC πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Daah cheki hli contents mazee!

Kweli nimeamini wana Yanga walikula viapo kumtetea Mayele kwa hali na mali kuhakikisha yanatolewa melezo ya kutosha kumfanya hata makosa yake bado yanamfanya awe ni bora

Kwa maelezo hayo uliyonipa ebu muweke Kibu tuone inavyo sound
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…