utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
- Thread starter
-
- #21
Kiuhaliaia Yanga wapo nyuma sana kuisapoti timu yao mitandaoniWengine ni pressure ya mchezo
Mashabiki wao wengi wazeeKiuhaliaia Yanga wapo nyuma sana kuisapoti timu yao mitandaoni
Kwa hiyo wewe ni kama madunduka tu huna biashara?Wananchi wengi ni wafanyakaz&wafanyabiashara wakubwa sio kama madunduka hawana shughuli za kueleweka,next time muanzishe tu thread sisi tuko busy sana.
Ana mikimbioHivi Aziz Ki anajua hata kupiga chenga ukiacha matobo?
Itakuwa ivo mkuu.Mashabiki wao wengi wazee
Kwani uongo au unataka kusema pipa kwa pipa?Unaweza kusema wanacheza pipa na mfuniko
tobo siyo chenga?Hivi Aziz Ki anajua hata kupiga chenga ukiacha matobo?
Wazee waliotoa mgomo kususia bidhaa za Azam halafu leo wanatumia uwanja wa AzamMashabiki wao wengi wazee
Wanajipa pressure ya bure tu, nimemsikia mchezaji wa Tanzania Prisons akisema hii game kwao si muhimu sana, kwasababu wao macho yote yapo Ligi Kuu Tanzania Bara kulingana na nafasi walipo.Wengine ni pressure ya mchezo
[emoji23][emoji23][emoji23] ni mfuniko kwa mfunikoKwani uongo au unataka kusema pipa kwa pipa?
Ni chenga
Unakokenti huku unaona aibu mwenyeweHawa prison waache kukaza kuna mtu tuna kazi nae kwenye haya mashindano
Pia prison watakuwa wamemalizana na washambuliaji wa Yanga maana paka Sasa goli kama 3 za wazi wamekosaYanga leo wamemalizana mapeema na forward kama wawili wa Prisons. Hakuna goli pale watafunga, labda aje kufunga beki au kipa wao.