Akiwekwa ya 4 atarudi bench mech 6Aziz K apigwe benchi mechi 3.
mkuu kupiga hesabu ni baada ya dak 90Na hapo hii ndio ilikuwa mechi yao walioipigia hesabu
eka goli moja 5M uone wanavyoyamiminaYanga imeshuka kwa kasi kubwa sana kutoka 5-0 hadi 1-0. Grafu ikiendelea hivi kufikia December tutafukuza benchi lote la ufundi.
Ki sio kufukuza tu Chapa viboko kabisaKuna wachezaji wa kufukuza hapa...Chsms,,Ki,,, Mzinze.
🚮🚮🚮🚮
Hovyoo...Ki sio kufukuza tu Chapa viboko kabisa
Mobeto kashamlegeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado ....mambo ya daslamKi sio kufukuza tu Chapa viboko kabisa
Hayo ni mawazo mgando.Kuna wachezaji wa kufukuza hapa...Chama,,Ki,,, Mzinze.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
KwikwikwiNgoja Aziz ki na Baleke waingie ndiyo watakoma hawa watoto