Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #241
Alie karibu na cocastic amwambie wana lunyasi sahivi tuna balaaWapiiii dada yetu kalpana
amka usingizini.kiundo kimekatika leo Bangala kasimama mkoba.Leo makolo lazima watoboke... Natia keka hapa! Full Time 3-1
36'Dakika ya 38'
Yanga 0-1 Simba
PoleeYanga 2 - 1 Simba, hii nasema mapema, ili mjue dak 90 ndio mpira
Naaaam [emoji847]Acha inyeshe tuone panapovuja
Mgunda mitano tena kwake
Baada ya dak 90 utakuja kumbuka, sie tunaona mbaliPolee