Yanga anakufa mapema tu leoYanga atafungwa hii mechi hata amini
Full time, Simba tunawachapa 2 na Yanga ni mbabe wa Simba always..YANGA 1 SIMBA 1
Mshaanza kulaumiana tayari
Hii mechi Simba Sc anashinda.Yanga atafungwa hii mechi hata amini
Duu nini,tulia ivyo ivyoDuuuh
Sio Mzamiru tu, hapo mkude anapotea katiHii ni derby ya 3 mzamiru kuchomesha
Furaha yenu hua haidumuNaona mmeibuka sasa Vyura hahaaaa