Mbon kote kote mkuu naripotiWw mbona unaripoti za mayele tuu
Uchawi wenu brooo hahahahKama Simba kaikamata hii game si aongeze magoli, nini kinashindikana
Kayataka mjomba wake Zolan Mark katuletea mkulima wa magimbi ulaya anasema ni mchezaji,alafu Ankal kamuacha mpwa wake yeye kasepa.Kanji kamtapeli mzungu pori
Aaa wapiiii haungalii mpira kaka mchambuziNdiyo anatawala mchezo 😂
Hiii kwahiyo sasahivi hamuani tena katika kutawala mchezo? Maana siku ile mmetika 1-1 na Hilal mlijikita kwenye kutawala mchezo.[emoji23]Kama Simba kaikamata hii game si aongeze magoli, nini kinashindikana