Bado dkk 2 na za nyongeza 3 basiiHii game inaisha sa ngapi ?
🤣🤣🤣 kama namwona Mpili akicheka na kibuyu chakeWAGANGA WA YANGA WAONGEZEWE HELA AISEE
Hii game inaisha sa ngapi ?
Huyu mshenzi katunyima ushindi..!Ddakika ya 88'
Yanga 1-1 Simba
Okrah yuko chini
Yanga imezidiwa vibaya mnoHuu mpira unaangalia kwa jicho moja?
Katupiwa jini kisirani hataki kuachia mpira