Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Unaiangalia ya nini sasa mkuuMechi ya hovyo sana
Kumbe wewe ni mshabiki wa wananchiNyuma mwikoooooo
Manyeto lazima achomesheYanga wanajifanya Man City wanacheza kutokea nyuma, sasa Bakari Nondo anatetemeka😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watakugeuza kabisa,maana tayari wamekuangusha,kuwa makini mkuu
utakuwa na mzio/aleji ya kupenda vitu vizuri yanga mbovu horoya na vipers unawaweka wapiTimu mbovu sana hii Yanga. Boresheni soka lenu leo mnalala 3-1 hapo hapo we ngoja
bwana mganga tulia uangalie mpira, jana watu walipiga bomu mochwareLitarudi
Kuna goli 3 hapoDah ila hii mechi draw alternatively kimoko
🤸🤸🤸🤸🤗🤗🤗🤗Mwiko mwenyewe [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Forever and always 💃💃Kumbe wewe ni mshabiki wa wananchi
Kwani wanacheza uwanja tofauti na Monastril? Si huohuo au?Uwanja umewapa vyura advantage
Basi hapo umeumia sana[emoji2]Gooooooooooooo Yanga 1
Ni Musonda anapiga goli
Ikawe hivyo[emoji120]Yanga wanatafuta bao la 2