Tunapiga hao waarabu tena bila huruma πUto wana mdomo thana kila lakheri monasterie
Umeanza linii huu uzalendotunaendelea tulipoishia
Sina maneno mengi jana hiyo na comment kibao na nilikuwa nimekula uzi mwekunduUmeanza linii huu uzalendo [emoji23][emoji23] tunaendelea tulipoishia
Siko kwenye walioshindwa mimi. Huko mko utopoloYa looser uliyowahi kuWIN mara ngapi?
Mchawi si lazima aroge !Mafanikio ya Yanga kwanini watu yanawauma sana
So what?Ligi ya LOOSERS hiyo wewe
Umewahi kuchukua Hilo kombe la looser au unapakatwqπ€£Kweli hii ni ligi ya LOOSERS ππππ
Hutaki niangalie?Unaiangalia ya nini sasa mkuu
Kwanini mkuu!?Yanga hamjiamini nyieee
Yani mpk mmuingize kimoja ndo mjee...Kwanini mkuu!?