Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani iyo ndio sababu ya sisi kuonekana kama tuna struggle kupata matokeo. Performance iko vizuri, timu inacheza mpira mwingi tu sema wapinzani wanakuja kuzuia wote kwa dakika zote tena wakicheza jihad ili wasionekane wanyonge kama wenzao 5imba, JKT, KMC, Mtibwa n.k5g zimetuponza wanatukamia sana madogo.
Nadhani hiyo ndio aibu sasa yaani umiliki mpira kwa asilimia zote hizo ndani ya dk 45 ufunge kagoli kamoja tu?
Aibu ni kwetu kutoka na goli moja pekee.
Yanga straiker wabovuHiyo timu haina striker kwani?
Kwahiyo msingi wa kushinda kwenu ni timu zicheze pasipo kujituma uwanjani?Yaani iyo ndio sababu ya sisi kuonekana kama tuna struggle kupata matokeo. Performance iko vizuri, timu inacheza mpira mwingi tu sema wapinzani wanakuja kuzuia wote kwa dakika zote tena wakicheza jihad ili wasionekane wanyonge kama wenzao 5imba, JKT, KMC, Mtibwa n.k
Subili kesho Azam akawatie adabu ya kujadili mambo yenuYaani kucheza mechi 7 mfulululizo ndio ufunge goli 1 si hata skudu anaweza
Wapi nimesema timu kupewa motisha ni jambo baya? Hoja yangu ni kuwa 5G imezifaanya timu zingine zinazocheza na Yanga zinakuja na mentality ya kupaki bus ili zisifungwe goli nyingi.Kwahiyo msingi wa kushinda kwenu ni timu zicheze pasipo kujituma uwanjani?
Maana naona mnalalamika timu kupewa motisha ili zijitume jambo ambalo halina ubaya wowote.
Hahahahahahhh hebu rudia tena kusema ulichosema... [emoji16]Zilipendwa.
U'r era diminished.
Leo.
Sana tuYanga straiker wabovu
Kuna mechi ngumu zinakuja ni moja ya strategy ya kulinda mchezajiHuyu Gamondi ana mpango gani na Pacome?