Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar🔰💪🏽
Dakika ya 15
Mzize anakosa goli la wazi
Dakika ya 17
Yng 0 -0 kgr
Dakika ya 20
Kagera sugar wanapata Free kick
Dakika ya 21
Yanga SC wanapata kona ya kwanza
Dakika ya 29 bado ni 0 kwa 0
Dakika ya 31
Mzize kambaaa
Dakika ya 41
Yng 1-0 kgr
Dakika ya 45+5
HT: Yanga SC 1-0 Kagera Sugar
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 53
Kagera sugar wanafanya mashambulizi dube anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 54
Yanga SC wanapata kona ya pili
Dakika ya 57
Dube anakosa nafasi ya wazi hapa
Dakika ya 59
Mudathir goal chuma cha pili
Dakika ya 70
Dube anakosa nafasi ya wazi
Yanga SC wanapata kona
Dakika ya 77
Yanga SC wanapata penati
Anaenda kupiga pacome goal chuma cha 3
Dakika ya 85
Yanga SC wanapata kona
Musondaaaaa goal chuma ya 4
Dakika ya 89
Kagera sugar wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 90+6
Young Africans SC 4-0 Kagera Sugar
Dakika ya 15
Mzize anakosa goli la wazi
Dakika ya 17
Yng 0 -0 kgr
Dakika ya 20
Kagera sugar wanapata Free kick
Dakika ya 21
Yanga SC wanapata kona ya kwanza
Dakika ya 29 bado ni 0 kwa 0
Dakika ya 31
Mzize kambaaa
Dakika ya 41
Yng 1-0 kgr
Dakika ya 45+5
HT: Yanga SC 1-0 Kagera Sugar
Dakika ya 53
Kagera sugar wanafanya mashambulizi dube anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 54
Yanga SC wanapata kona ya pili
Dakika ya 57
Dube anakosa nafasi ya wazi hapa
Dakika ya 59
Mudathir goal chuma cha pili
Dakika ya 70
Dube anakosa nafasi ya wazi
Yanga SC wanapata kona
Dakika ya 77
Yanga SC wanapata penati
Anaenda kupiga pacome goal chuma cha 3
Dakika ya 85
Yanga SC wanapata kona
Musondaaaaa goal chuma ya 4
Dakika ya 89
Kagera sugar wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 90+6
Young Africans SC 4-0 Kagera Sugar