Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Leo majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Azam Complex, timu ya Tanzania Prisons itajipanga mistari miwili kutoa heshima kwa mabingwa wa nchi timu ya Yanga. Baada ya hapo kutapigwa kabumbu kali la kufungia msimu.
Mechi hii inategemewa isiwe na ushindani mkali sana kwani Prisons hayupo katika hatari kubwa ya kushuka daraja wala hawanii nafasi nne za juu.
Mechi hii inatarajiwa kutengenezwa nafasi nyingi za magoli kuelekea kwa Aziz Ki ili aweze kumshinda mpinzani wake katika kutafuta kiatu cha dhahabu.
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Prisons kinachoanza
Mechi hii inategemewa isiwe na ushindani mkali sana kwani Prisons hayupo katika hatari kubwa ya kushuka daraja wala hawanii nafasi nne za juu.
Mechi hii inatarajiwa kutengenezwa nafasi nyingi za magoli kuelekea kwa Aziz Ki ili aweze kumshinda mpinzani wake katika kutafuta kiatu cha dhahabu.
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Prisons kinachoanza