FT: Yanga SC 4-1 Tanzania Prison | NBC PL | Azam Complex, Chamazi | 28/05/2024

FT: Yanga SC 4-1 Tanzania Prison | NBC PL | Azam Complex, Chamazi | 28/05/2024

Jaluo_Nyeupe

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
2,824
Reaction score
2,264
Leo majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Azam Complex, timu ya Tanzania Prisons itajipanga mistari miwili kutoa heshima kwa mabingwa wa nchi timu ya Yanga. Baada ya hapo kutapigwa kabumbu kali la kufungia msimu.

Mechi hii inategemewa isiwe na ushindani mkali sana kwani Prisons hayupo katika hatari kubwa ya kushuka daraja wala hawanii nafasi nne za juu.

Mechi hii inatarajiwa kutengenezwa nafasi nyingi za magoli kuelekea kwa Aziz Ki ili aweze kumshinda mpinzani wake katika kutafuta kiatu cha dhahabu.

1716902145893.png

Kikosi cha Yanga kinachoanza
1716902207577.png

Kikosi cha Prisons kinachoanza
 
Tumalize ligi na kombe, kiatu cha mfungaji bora, MVP, wachezaji 6 bora kwenye kikosi bora msimu huu, kocha bora na timu bora kiujumla ya msimu huu.
Sisi ni Yanga.
 
Back
Top Bottom