Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Uoge kabisa Mambo wa kutoka bafuni unakimbia ukiskia goli hatutaki leoKila la kheri Ki Azizi ufunge mengi uchukue kiatu chako cha dhahabu..! 🤸💚💛
Siku hizi unapemdwa na kila mtu humu,nyota yako ipo juuuuKila la kheri Ki Azizi ufunge mengi uchukue kiatu chako cha dhahabu..! [emoji1732][emoji172][emoji169]
Umejuaje nimetoka zangu kuoga nipo kwenye kiti natizama mpira☺️Uoge kabisa Mambo wa kutoka bafuni unakimbia ukiskia goli hatutaki leo
Achana nao! Wanaonipenda wapo kimyaSiku hizi unapemdwa na kila mtu humu,nyota yako ipo juuuu
Chuma gani tena?Siamini kama tumekula chumaa
Tanzania prison 1 Yanga 0Chuma gani tena?
Duh sipo na TV mbona ubao hausomi.Tanzania prison 1 Yanga 0