π π huu msimu hawautamani hata kidogo.Machozi yawabubujika wanathiiiimbaaaa
Aaah...! Mchezaji bora??...! Labda huko ndio wakacheze na watoto wenzaoMfungaji bora na mchezaji bora ni tofauti
Hapana mtani niache nipo naugulia maumivu.Halafu nimetaka kukutag sasa hivi aisee. ππ
Haipingwi.Tukitoka hapa moja kwa moja kwa Mwasibu jamani Γ ΒΎΓ´¸ÒÒï¸à ¾Γ´¸ÒÒï¸à ¾Γ´¸ÒÒï¸à ¾Γ´¸ÒÒï¸
Msahau yaliyopita.ye hakuwa mzalendo kusema kalishwa sukari na ugal
Pole sana Mtani.Hapana mtani niache nipo naugulia maumivu.
Wapo wanampambania FeiππWale wana5imba mje tufurahi kwa kuimalizia mechi ya ligi kuu kwa msimu wa 2023/2024 jamani.
Yaani tuliianza safari ya kushabikia Ligi pamoja lakini huku mwisho mwisho mmetuacha wenyewe acheni hizo. ππ
Dada JiraniWale wana5imba wa Jf hivi mko wapi siku hizi?
Yaani tuliianza safari ya kushabikia Ligi pamoja lakini huku mwisho mwisho mmetuacha wenyewe acheni hizo. ππ
ππWale wana5imba mje tufurahi kwa kuimalizia mechi ya ligi kuu kwa msimu wa 2023/2024 jamani.
Yaani tuliianza safari ya kushabikia Ligi pamoja lakini huku mwisho mwisho mmetuacha wenyewe acheni hizo. ππ
Hata 5 nilikupiga kibahati?Dada Jirani
Yanga ni timu mbovu inashinda Kwa bahati
Guede hachezi leo
Inonga aliuza mechi.Hata 5 nilikupiga kibahati?
Sisi ni ndugu jamani. π€£π€£ππ
Aziz Ki ameshafunga mbili?? Imekuwa rede hii??Guede hachezi leo
Fei kuhusu kiatu asahau
Azizi kashamzidi 2 magoal