Kama inauma chomoaaaaaaπ€ΈHovyo sana. Utopolo mipango mipango tu. Ligi imeharibiwa na gsm
Timu zote za GSM leo, Baabra aliwaambia ligi itakosa mwelekeo. Matokeo ndiyo haya sasa. Mpira wa mipango mipango tu huwezi hata kutumia utaalam kujua hilo.
Hadi Simba ni ya GSM mwaka huuTimu zote za GSM leo, Baabra aliwaambia ligi itakosa mwelekeo. Matokeo ndiyo haya sasa. Mpira wa mipango mipango tu huwezi hata kutumia utaalam kujua hilo.
Hovyo sana. Utopolo mipango mipango tu. Ligi imeharibiwa na gsm
Kwisha π€£π€£π€£Mwasibu!
Mwasibu!
Mwasibu!
Nimekuita mara tatu!
Leo kazi unayo dadeki!
Ni huzuni kwakweli ππMwasibu!
Mwasibu!
Mwasibu!
Nimekuita mara tatu!
Leo kazi unayo dadeki!
Kuna mtu atafukuzwa kazi leo.Pamoja pressure ilivyo bado michezajo ya kolowizard haijapata hata goli aisee.
Numona muhasibu anatoa ugali wa sukari kwenye meno na toothpick .πππView attachment 3002020
Feitoto fc ugali sukari
Wamekiwasha
Tumehonga mpaka makolo tukayapiga 7Unaweza kufikiri soka linachezwa kumbe tofauti kabisa.
Watu wamejizatiti wapewe sifa na utukufu kwa kutumia pesa.Pesa haishindwi kitu na hasa pesa chafu
Nitumie namba inbox nikutumie kazawadi woyooooooooo21 goals Azizi Kiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!π€Έππ
Woyowoyowoyoooooooooooo