FT: Yanga SC 4-1 Tanzania Prison | NBC PL | Azam Complex, Chamazi | 28/05/2024

FT: Yanga SC 4-1 Tanzania Prison | NBC PL | Azam Complex, Chamazi | 28/05/2024

Timu zote za GSM leo, Baabra aliwaambia ligi itakosa mwelekeo. Matokeo ndiyo haya sasa. Mpira wa mipango mipango tu huwezi hata kutumia utaalam kujua hilo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kunywa maji mengi
 
Unaweza kufikiri soka linachezwa kumbe tofauti kabisa.

Watu wamejizatiti wapewe sifa na utukufu kwa kutumia pesa.Pesa haishindwi kitu na hasa pesa chafu
 
ihefu nayo leo imetoa 5G

1716908181481.png
 
Back
Top Bottom