Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Dah 🤣😁 kama ndio hivyo mawazo yenu mwakani hampati kitu Tena na mtakula 7 tenaInonga aliuza mechi.
Full stop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah 🤣😁 kama ndio hivyo mawazo yenu mwakani hampati kitu Tena na mtakula 7 tenaInonga aliuza mechi.
Full stop
Na mambo yameshawageukia na huko. Hawana hamu. 😂😂Wapo wanampambania Fei😂😂
Utajiju..!!🤸Aziz Ki ameshafunga mbili?? Imekuwa rede hii??
Au ndio anatembeza bahasha
😅😅 huu msimu hawautamani hata kidogo.
Kiatu cha dhahabu kwa Aziz Ki hakikwepekiTumalize ligi na kombe, kiatu cha mfungaji bora, MVP, wachezaji 6 bora kwenye kikosi bora msimu huu, kocha bora na timu bora kiujumla ya msimu huu.
Sisi ni Yanga.
Dooh!Dada Jirani
Yanga ni timu mbovu inashinda Kwa bahati
Leo watalala na maumivu mara mbili.View attachment 3002020
Feitoto fc ugali sukari
Jipe moyo!Sijiju hata kidogo
Nafasi ya pili simba
Sio 5 ni 7.Hata 5 nilikupiga kibahati?
Watapata tabu sanaLeo watalala na maumivu mara mbili.
Huku ni kina Mwatatu na huku kiatu hamna. 🤣
Kiatu cha dhahabu kwa Aziz Ki hakikwepeki
Unajua Niko serious au ulikua unatania? 🤣🤣🤣nimecheka sana we jamaa hahahahaha
Inonga aliuza mechiSio 5 ni 7.
Nenda kwenye uzi wakoInonga aliuza mechi
Nenda uzi wako wa SimbaaaaaHawa mabek WA prison wameuza mechi. Yaan wapo wawili wanamwachia musonda afunge