FT: Young Africans 4-2 Dodoma Jiji | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | Chamazi | 13/5/2023. Yanga yatangaza ubingwa

FT: Young Africans 4-2 Dodoma Jiji | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | Chamazi | 13/5/2023. Yanga yatangaza ubingwa

Kumekucha tena wakuu, habari zenu wapenda soka? Ni imani yangu kua mko poa.!

Leo ndo ile siku ambayo wananchi wamekua wakiisubiri Kwa hamu kubwa. Si mlisikia kua kutesa Kwa zamu? Naam Yao imepita sasa ni zamu ya watoto wa Jangwani kula Utawala.

Leo jumamosi ya May 13 2023 kuna mtanange mkali sana, mchezo wa NBC PREMIERE LEAGUE kati ya Yanga sc kutoka mitaa ya karikoo Dar es Salaam dhidi ya Dodoma Jiji.

Huu utakua mchezo wa 28 kwa wote Yanga SC na Dodoma Jiji maarufu kama Walima Zabibu.!

Yanga sc mwenye pointi 71 akiwa anaongoza league atapambana kupata ushindi maana anahitaji pointi 3 tu ili afikishe pointi 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine kwenye ligi, hivo atakua ametangaza ubingwa na kutwaa taji la 29. Ubingwa huo utakua ni wa pili mfululizo baada ya mwaka jana kubeba taji hilo. Kwa upande wa Dodoma jiji wao wakiwa na pointi 31 watapigana wapate ushindi ili wajinusuru na kushuka daraja kwani japokuwa wapo nafasi ya 10 kati ya timu 16 zilizopo ligi kuu, Lakini tofauti yao na timu iliyo nafasi ya 13 kwenye mstari mwekundu ni pointi mbili tu!

Yanga sc waliotoka kupata ushindi wa 2-0 mechi iliyopita dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika kusini kwenye kombe la shirikisho barani Afrika watalazimika kushinda hii mechi ili kuhamishia nguvu kwenye michuano ya kimataifa kwani tayari wapo mguu mmoja fainali.

Mechi ya leo pia ni muhimu kwa mshambuliaji wao hatari Fistoni Kalala Mayele mwenye goli 16 akiwa ndiye kinara wa mabao mpaka sasa atatamani kufunga zaidi ili avunje rekodi yake ya magoli aliyofunga msimu uliopita ambayo ni goli 16, je Leo atatetema mbele ya Walima Zabibu? Tusubiri.

Mara ya mwisho hizi timu zilipokutana Dodoma Jiji alichezea kichapo cha bao 2-0. Shukurani Kwa Fistoni Mayele Kwa kupachika bao zote mbili wavuni.

Basi macho na masikio leo saa 10:00 jioni katika dimba la Azam Complex Stadium Chamazi. Updates zote utazipata kupitia huu Uzi..

Kila la kheri Wanachi [emoji169][emoji172]
#Daimambelenyumamwiko View attachment 2619888
Yanga bingwa msimu huu kwa kila [emoji146] taji ambalo anashiriki isipokuwa mapinduzi tu anza na community shield, NBC , cafcc,asfc na today nabi ambaye kiuhalisia ni football profesa ataanzaa na akina nkane na ubingwa wa msimu uliopita tunajivua leo na kujivika wa msimu huu imeisha hiyo,.. .

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kumekucha tena wakuu, habari zenu wapenda soka? Ni imani yangu kua mko poa.!

Leo ndo ile siku ambayo wananchi wamekua wakiisubiri Kwa hamu kubwa. Si mlisikia kua kutesa Kwa zamu? Naam Yao imepita sasa ni zamu ya watoto wa Jangwani kula Utawala.

Leo jumamosi ya May 13 2023 kuna mtanange mkali sana, mchezo wa NBC PREMIERE LEAGUE kati ya Yanga sc kutoka mitaa ya karikoo Dar es Salaam dhidi ya Dodoma Jiji.

Huu utakua mchezo wa 28 kwa wote Yanga SC na Dodoma Jiji maarufu kama Walima Zabibu.!

Yanga sc mwenye pointi 71 akiwa anaongoza league atapambana kupata ushindi maana anahitaji pointi 3 tu ili afikishe pointi 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine kwenye ligi, hivo atakua ametangaza ubingwa na kutwaa taji la 29. Ubingwa huo utakua ni wa pili mfululizo baada ya mwaka jana kubeba taji hilo. Kwa upande wa Dodoma jiji wao wakiwa na pointi 31 watapigana wapate ushindi ili wajinusuru na kushuka daraja kwani japokuwa wapo nafasi ya 10 kati ya timu 16 zilizopo ligi kuu, Lakini tofauti yao na timu iliyo nafasi ya 13 kwenye mstari mwekundu ni pointi mbili tu!

Yanga sc waliotoka kupata ushindi wa 2-0 mechi iliyopita dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika kusini kwenye kombe la shirikisho barani Afrika watalazimika kushinda hii mechi ili kuhamishia nguvu kwenye michuano ya kimataifa kwani tayari wapo mguu mmoja fainali.

Mechi ya leo pia ni muhimu kwa mshambuliaji wao hatari Fistoni Kalala Mayele mwenye goli 16 akiwa ndiye kinara wa mabao mpaka sasa atatamani kufunga zaidi ili avunje rekodi yake ya magoli aliyofunga msimu uliopita ambayo ni goli 16, je Leo atatetema mbele ya Walima Zabibu? Tusubiri.

Mara ya mwisho hizi timu zilipokutana Dodoma Jiji alichezea kichapo cha bao 2-0. Shukurani Kwa Fistoni Mayele Kwa kupachika bao zote mbili wavuni.

Basi macho na masikio leo saa 10:00 jioni katika dimba la Azam Complex Stadium Chamazi. Updates zote utazipata kupitia huu Uzi..

Kila la kheri Wanachi [emoji169][emoji172]
#Daimambelenyumamwiko View attachment 2619888
Kila la kheri yanga leo watangazwe mabingwa
 
Hivi Yanga si walitaka kutangaza ubingwa mwezi umepita sasa toka April 16, nini kimetokea hapo kati maana nilkuwa siyo mfuatiliaji sana wa mpira?
 
Hivi Yanga si walitaka kutangaza ubingwa mwezi umepita sasa toka April 16, nini kimetokea hapo kati maana nilkuwa siyo mfuatiliaji sana wa mpira?
Watu wa haki za binadamu waliingilia kati
 
Hivi Yanga si walitaka kutangaza ubingwa mwezi umepita sasa toka April 16, nini kimetokea hapo kati maana nilkuwa siyo mfuatiliaji sana wa mpira?
Sasa kama hufutilii mpira nenda kwenye mdako
 
Kila la kheri Timu ya Wananchi katika kuzinyakua zile points zetu tatu ili kukamilisha mbio za ubingwa wa Msimu 2022/2023.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Shadeeya [emoji172][emoji169]
Da nakumbuka Ile misimu ya kina Saporng tulivosota kolowizard walitamba Sana Leo kimya wanasonya tu [emoji16]
 
Shadeeya [emoji172][emoji169]
Da nakumbuka Ile misimu ya kina Saporng tulivosota kolowizard walitamba Sana Leo kimya wanasonya tu [emoji16]
Acha kabisa Mkuu na wenzake kina Nchimbi.

Tulipo sasa ndio maana halisi ya kuimba kupokezana. 😅 wacha tuimbe wananchi ni wakati wetu sasa. 😅
 
Uwanja mweupe
Uto wamesusia timu yao
BAHLABANE BA NTWA[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom