Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hiyo ni uongo[emoji23][emoji23][emoji23]Real niamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Yaani umesubiri nikuquote ndio useme
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni uongo[emoji23][emoji23][emoji23]Real niamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hujashusha story kule?
wapi huko mbona huwa sina story?Hujashusha story kule?
Duuh mbona unakua umetapakaa kwy comments za kina Antonnia na Bantu Lady nikajua umeshusha story 🙂 🙂 🙂 😀wapi huko mbona huwa sina story?
mimi ni msomaji story sio mtunzi, pia ni mutu ya watu 😎 alafu ni mwananchiDuuh mbona unakua umetapakaa kwy comments za kina Antonnia na Bantu Lady nikajua umeshusha story 🙂 🙂 🙂 😀
Kuhusu kuwa Utopolo hilo wala sio la kunijuza..mimi ni msomaji story sio mtunzi, pia ni mutu ya watu 😎 alafu ni mwananchi
kwa kukosa ubingwa yawezekana ulisahau 😂Kuhusu kuwa Utopolo hilo wala sio la kunijuza..
Yah basi nimekufananisha... 😀kwa kukosa ubingwa yawezekana ulisahau 😂
kwahiyo ulikua unajua nna story yangu humu?
story yangu imeisha juzi inaitwa YANGA BINGWAYah basi nimekufananisha... 😀
Haya ya Yanga ni marudio tuu...tushachoka kusikia kwny masikio...uzuri mm nina raha ni kwamba ubingwa bila kumfunga Simba ni ubingwa usio na raha kwa utopolo..story yangu imeisha juzi inaitwa YANGA BINGWA
JIFARIJI HIVYO HIVYOHaya ya Yanga ni marudio tuu...tushachoka kusikia kwny masikio...uzuri mm nina raha ni kwamba ubingwa bila kumfunga Simba ni ubingwa usio na raha kwa utopolo..