Jibu swali, umenyooshwa tayari?🤣Hao Madema mumewaroga wewe unaona wanacheza kama mechi ya kwanza?
Wamefanya nini?Makolo wapumbavu sana.
Wydad ndio kibonde wa Africa msimu huu .Sasa hao vibonde ndo wa kutuambia kweli?
Vibondeee full stop...hutaki tapikaHivi unakulaga makande.
Kwa timu ipi ya kusumbua?
Mimi sio MadeamaJibu swali, umenyooshwa tayari?🤣
Vibondee bana haina mjadalaWydad ndio kibonde wa Africa msimu huu .
Halafu si tushakubalina kuwa vibonde wapo shirikisho mbona Makolo mnatugeuka sasa ?
Lazima wapigwe wachakae.
NondoGoli kashinda Nani pale ?
Si tulikubaliana kuwa Champions League ya Magiant au mpaka tuchukue Uefa ndio mtuamini mbona Makolo mnatugeuka wakati vibonde wapo shirikisho ?Kwa timu ipi ya kusumbua?
Medeama?