FT: Young Africans SC 6-0 CBE SA | CAFCL | 2nd Preliminary round | 2nd Leg | Amani Stadium | 21-09-204

Unaharaka sana huyu nae anajiunga kwenye lile chama la walio kula tano bado moja.
 
Atold youuuuuuuuuuuuu 💚💛💛💛🖤🖤🖤🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸!

Mudathir La nneee💪💪💪💪💪💪💪


Cc Smart911
 
Haya magoli tulishazoea miaka hiyo timu za Tanzania zinadungwa na waarabu kwenye michuano kama hii, ama kweli yanga ni mkombozi wa soka la Tanzania na kila mwenye akili timamu ni lazima ashabikie Yanga, achana na wale waliochanganyikiwa kimaisha
 
Nasikia makelele banda umiza, kunani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…