Fuata njia hizi kulinda wazo lako la biashara

Sawa mkuu
 
naona kila mtu ako na mawazo yake juu ya hii thread lakini ukija kusema kwamba mtu atalifanyia editing halafu akalisajiri maneno yanaweza kutofautiana lakini mtu akisoma wazo lako original na editing ya wazo lako unakuta mlengo ni ule ule original yako inaweza ikawa ni karanga kupitia mitandao ya kijamii kisha editing ikawa ni kuuza karanga vilele lakini yeye asiseme kuuza kwenye mitandao akatafuta njia nyingine lakini ni wazo ambalo umeliwaza wewe na mwengine akalijua kwa namna moja au nyingine au pengine na yeye aliliwza kama wewe lakini ni kitu ambacho hakipo nchini au dunani hivyo hapo ndo inakuja kazi ya wanabaraza kuanza kuchambua na kugundua kama hayajagongana au kama yamegongana lakini kuna mtu ambae alikuwa wa kwanza kwenda kulisajiri na yeye ndo atakaekuwa mmiliki wa hiyo idea hivyo huwezi kusema hilo wazo ulilonalo kichwani ukakuta mtu kashalisajiri ukasema kakuonea ulitaka upewe hati ya umiliki wakati wazo lipo kichwani tu au cosota wataota kuwa na wewe una wazo la biashara linahitaji kusajiriwa na huwezi ukaliweka wazi wazo lako ukasema eti ni wazo lako kisha uweke onyo kwa atakaelichukua sasa utampeleka wapi na una kidhibiti kipi cha kuthibitisha kuwa kweli lile ni wazo lako labda ukamloge asee maana kule ndo hakunaga kuomba ushahidi kule hakuna sheria kule ni vitendo tu lakini kama mahakamani huwezi kunisimamisha kama huna kidhibiti chochote ndo maana zikawekwa hizi mamlaka za kwenda kufanya usajiri ndugu zanguni tusiwe wabishi sana.
OVER
 
bado ni ngumu h Kwa hiyo wakati unanishirikisha hilo wazo lako kunakuwa na mashahidi ili nisikugeuke?
 
Barikiwa KWA JUMBE,

Kwa kuongeza tu usajili COSOTA upo WA mtu binafsi, ndio umeeleza hapo, lkn pia upo KWA wale wenye kampuni. Tofauti ni kwenye malipo na dokumenti za umiliki. KWA umiliki WA mwenye kampuni, Shari asajili kampuni ya aina yeyote,

Kwa Masada zaidi ya kusajili kampuni, nipigie 0684205039
 
Apa nimepata mwanga niliokuwa natafuta
 
Hv Kusajili wazo Bunifu lazima niende Ofisi za COSOT????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…