Fuatilia (Live) Simba SC vs Majimaji Fc, uwanja wa Taifa jijini Dar.

Fuatilia (Live) Simba SC vs Majimaji Fc, uwanja wa Taifa jijini Dar.

Huyu chacha maginga anaonekana anampenda mnyama mfalme wa pori. Maana utangazaji wake kuna kipindi mpaka alimeza mic.... Simba wanasukuma mpira hakya nani vile...nyie achen jaman.
Amepelekwa hospitali gani kupasuliwa koo ? au imepita ?
 
Hivi ni nani mwenye jina la Chura maana naona mwenye jina halitaki siku hizi
 
Back
Top Bottom