Fuatilia mahojiano aliyofanya Tundu Lissu na Mtangazaji Sammy Awami wa BBC Swahili. Ajibu tuhuma za kutokuwa mtu wa shukrani nk

Fuatilia mahojiano aliyofanya Tundu Lissu na Mtangazaji Sammy Awami wa BBC Swahili. Ajibu tuhuma za kutokuwa mtu wa shukrani nk

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
SEHEMU YA KWANZA👇🏻👇🏻

View: https://youtu.be/OO2AYA3VY-Y?si=rYCwWDRt0KJognM3

SEHEMU YA PILI👇🏻👇🏻

View: https://youtu.be/e0MXkGVJrn8?si=56j8vHveXRune5eo

Kwa ufupi:

➡➡Amejibu na kutoa ufafanuzi wa tuhuma mbalimbali zilizotolewa na mgombea uenyekiti mwenzake Ndugu Freeman Mbowe....

Miongoni mwa tuhuma hizo alizozitolea maelezo ya ufafanuzi:

1. Freeman Mbowe kumkatia tiketi za ndege mara kwa mara ili afanye harakati zake....

2. Freeman Mbowe kumpa gari ili afanyie harakati zake...

3. Freeman Mbowe kumwita mwenzake huyu "mtu asiye na shukrani" kwani bila yeye (Mbowe) basi Tundu Lissu asingekuwepo...

4. Kwanini kamsema mgombea mwenzake hadharani kuwa ni "MWONGO". Kasema, ni kwa sababu ya yale yanayotoka mdomoni mwake ambayo hayawezi kuachwa bila kupatiwa ufafanuzi....

5 Mambo mengine mengi yamefafanuliwa na TL hapa. Tazama na sikiliza hadi mwisho wa video clips hizi mbili...

➡➡Mwisho kabisa, amesema amejitokeza waziwazi mwenyewe kutaka kuwa kiongozi wa CHADEMA sasa ili watu wamchunguze, watafute madoa aliyonayo ktk kupima uadilifu wake na kisha waamue...
 
Chadema ni salama zaidi ikiwa na Lissu

Chadema itatumia kwa weledi na kwa nidhamu ya juu sana kujijenga kwa kutumia mapato yake yenyewe tofauti na awali ambapo huwezi kuhoji juu ya mapato ya chama, kwani mwenye kujua ABC ya Mapato ni amekuwa mmoja tu bwana Mgabe Philiman Ikael, yeye akiamua hapa tutatoa pesa ya kupanga ofsi, inakuwa, akisema leo tufanye kikao chenye maji pekee, inakuwa, hovyo kabisa

Mbowe bhana hafai tu, hafai kabisa si hata kwa kulumangia, bali hafai kwa chochote

Na Lissu akipita, uitishwe uchunguzi haraka juu ya tuhuma za huyu bob Malley
 
Jamaa kanichekesha sana kwamba ukitoka Nairobi hadi Boda namanga njia nzima ni mabango ya biashara , ila tu ukishavuka ukaingia boda ya Tanzani ni mabango ya "Asante Mama"
 
SEHEMU YA KWANZA👇🏻👇🏻

View: https://youtu.be/OO2AYA3VY-Y?si=rYCwWDRt0KJognM3

SEHEMU YA PILI👇🏻👇🏻

View: https://youtu.be/e0MXkGVJrn8?si=56j8vHveXRune5eo

Kwa ufupi:

➡➡Amejibu na kutoa ufafanuzi wa tuhuma mbalimbali zilizotolewa na mgombea uenyekiti mwenzake Ndugu Freeman Mbowe....

Miongoni mwa tuhuma hizo alizozitolea maelezo ya ufafanuzi:

1. Freeman Mbowe kumkatia tiketi za ndege mara kwa mara ili afanye harakati zake....

2. Freeman Mbowe kumpa gari ili afanyie harakati zake...

3. Freeman Mbowe kumwita mwenzake huyu "mtu asiye na shukrani" kwani bila yeye (Mbowe) basi Tundu Lissu asingekuwepo...

4. Kwanini kamsema mgombea mwenzake hadharani kuwa ni "MWONGO". Kasema, ni kwa sababu ya yale yanayotoka mdomoni mwake ambayo hayawezi kuachwa bila kupatiwa ufafanuzi....

5 Mambo mengine mengi yamefafanuliwa na TL hapa. Tazama na sikiliza hadi mwisho wa video clips hizi mbili...

➡➡Mwisho kabisa, amesema amejitokeza waziwazi mwenyewe kutaka kuwa kiongozi wa CHADEMA sasa ili watu wamchunguze, watafute madoa aliyonayo ktk kupima uadilifu wake na kisha waamue...

Huyu mtu Wa IKUNGI ana kitu/madini ila yule wa machame apumzike
 
Back
Top Bottom