nikolo makaveli
Member
- Aug 22, 2018
- 16
- 26
hivi cyrptocurrency ina misingi yeyote katika mfumo wa sheria?Fuatilia tafiti iliyofanywa na Mwanasheria Pascal Mshanga kuhusu Sintofahamu ya Kisheria (Legal parable) iliyopo kwenye fedha za mitandaoni na teknolojia inayoziwezesha (crypto currency and block chain technology); Uhitaji wa mfumo wa udhibiti. Tazama mahojiano aliyofanya na The RISACHI ili kuielewa vizuri teknolojia hiyo, sheria za Tanzania kuhusu hiyo teknolojia, faida zake, tahadhali za kuchukua unapojihususha nayo na upi unapaswa kuwa mustakabali sahihi kwa kubonyeza linki ifuatayo https://goo.gl/UUp2pb
hivi cyrptocurrency ina misingi yeyote katika mfumo wa sheria?
haaaaa! sijui hata nimekaa siti gani! Sheria za kifedha hazina msamiati wowote kama CRYPTOCURRENCY.labda sheria za kifedha.
mkuu umesoma hiyoo link au umewai siti tuu.
Kabla ya kuijua hiyo sheria ya fedha, hivi sheria ya JF inasemaje kuhusu kuweka linklabda sheria za kifedha.
mkuu umesoma hiyoo link au umewai siti tuu.
Acha maneno wewe!!, kwanini usiandike habari kamili kwa kuichambua kwa kile ulichokiona badala yake unakuja na link ambapo sheria ya Jf inakatazaFuatilia tafiti iliyofanywa na Mwanasheria Pascal Mshanga kuhusu Sintofahamu ya Kisheria (Legal parable) iliyopo kwenye fedha za mitandaoni na teknolojia inayoziwezesha (crypto currency and block chain technology); Uhitaji wa mfumo wa udhibiti. Tazama mahojiano aliyofanya na The RISACHI ili kuielewa vizuri teknolojia hiyo, sheria za Tanzania kuhusu hiyo teknolojia, faida zake, tahadhali za kuchukua unapojihususha nayo na upi unapaswa kuwa mustakabali sahihi kwa kubonyeza linki ifuatayo https://goo.gl/UUp2pb
Mwanasheria amefafanua kiurefu kabisa na mengine mengi, angalia mahojiano baada ya kubonyeza linki. Nashindwa kuandika kila kitu hapa Mkuu!hivi cyrptocurrency ina misingi yeyote katika mfumo wa sheria?
kama unaandika kitabu ni vyema ukaangalia pia kilichosemwa na mwanasheria kuhusu hilo sualahaaaaa! sijui hata nimekaa siti gani! Sheria za kifedha hazina msamiati wowote kama CRYPTOCURRENCY.
Hii mada imenigusa kwa sababu ninaandika kitabu kinachogusia haya mambo!
Mkuu nisingeweza kuandika kila alichosema ni mahojiano ya zaidi ya dakika 15.Acha maneno wewe!!, kwanini usiandike habari kamili kwa kuichambua kwa kile ulichokiona badala yake unakuja na link ambapo sheria ya Jf inakataza
Basi ndio hivo mkuu siku nyingine angalia habari yote zen uisamariseMkuu nisingeweza kuandika kila alichosema ni mahojiano ya zaidi ya dakika 15.
Sawa MkuuBasi ndio hivo mkuu siku nyingine angalia habari yote zen uisamarise