nikolo makaveli
Member
- Aug 22, 2018
- 16
- 26
Fuatilia tafiti iliyofanywa na Mwanasheria Pascal Mshanga kuhusu Sintofahamu ya Kisheria (Legal parable) iliyopo kwenye fedha za mitandaoni na teknolojia inayoziwezesha (crypto currency and block chain technology); Uhitaji wa mfumo wa udhibiti. Tazama mahojiano aliyofanya na The RISACHI ili kuielewa vizuri teknolojia hiyo, sheria za Tanzania kuhusu hiyo teknolojia, faida zake, tahadhali za kuchukua unapojihususha nayo na upi unapaswa kuwa mustakabali sahihi kwa kubonyeza linki ifuatayo https://goo.gl/UUp2pb