Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi check fuel injector huenda zinamwaga mafuta mengi kuliko kawaida,lakini kama zingekua zinamwaga mengi kuliko hewa inayoingia moshi ungetoka mweusi kwa kua mafuta yanachomwa mengiyanatoka majiiiiiiiiiiii mkuu
angalia pia sensor ya kwenye throttle body,ile sensor ya hewayanatoka majiiiiiiiiiiii mkuu
acha tuuu ni shiiida nmekuja kugundua tatzooo maana nlikua nanunua mafuta mengi yakikarbia kuisha nanunua ya 70 elf hv ila hayakati wiiiki..... mizunguko ni midogooo tuuuLandcruser yenye cc 4000 inakula around 6km/litre. Rav 4 cc 2000 ndo itumie 3km/litre!??
nimeambiwa keshooo nikazchek izooo injectorr sooo by asubuh ntakuwa garage ntawapa feedback shda ilikua ninibasi check fuel injector huenda zinamwaga mafuta mengi kuliko kawaida,lakini kama zingekua zinamwaga mengi kuliko hewa inayoingia moshi ungetoka mweusi kwa kua mafuta yanachomwa mengi
kaka acha tuuuu ili tatzooo lmeanza sooon maana dereva wangu nilimpa bajeti ya laki 3 na 60 toka ruvuma mbinga hadiii arusha nilimpa hiyo ela na gari ilifika salama mafuta yakabaki nilipigia mahesabu 10 km per litre nika kalculate distance jamaa akatoboaMwee hiyo gari haina huruma kwenye hii awamu ya Magu!!?
Hiyo gari tangu uliponunua lina tatizo hilo hilo la consumption kubwa au hilo ni tatizo jipya!?
Gari za UK mara nyingi zina shida ya kumeza mafuta mengi hata kama lina VVT-i engine.
Kama engine ni D4 wakati mwingi zinaweza kuwa sababu hebu kapime watafute wataalam wa diagnosis.
Pole sana ndugu yangu elfu kumi ya leo ni ya machozi jasho na damu
Poa mkuu kwakweli, nikushauri tu uipeleke kwa fundi wa kueleweka na asiwe fundi wa bei rahisi kwa kutazama tu unafuu bali peleka garage yenye mafundi ambao hawapo after money.kaka acha tuuuu ili tatzooo lmeanza sooon maana dereva wangu nilimpa bajeti ya laki 3 na 60 toka ruvuma mbinga hadiii arusha nilimpa hiyo ela na gari ilifika salama mafuta yakabaki nilipigia mahesabu 10 km per litre nika kalculate distance jamaa akatoboa
kuna kipindiiii ilikua inakulaaaa mno 1litre 1km tukakuta nyanya za plug moja tuuu ndio nzima ila gari inachoma fresh maji yanamwagkaaa kwa exhaust ila ilikua inakosa nguuuuvuuuu mlimanii hata kimlima kdogoo tuuu.........................
now ndio imekuja kua hiyoooo na ni rav ya mwingereza kweli.......
ngoja waitest ikishndkana keshoooo nikapeleke waka diagnosis .........
poa poa kaka ntatendea kaziiiiiii........maana inanitenda vya kutosha nakwama shughuli zanguuuu..................Poa mkuu kwakweli, nikushauri tu uipeleke kwa fundi wa kueleweka na asiwe fundi wa bei rahisi kwa kutazama tu unafuu bali peleka garage yenye mafundi ambao hawapo after money.
Ni vyema ukapima kwanza ili ufahamu unaenda kutengeneza nini.
Kuna mafundi ambao hubahatisha kazi zao badala ya kutatua tatizo wanaweza kuzalisha tatizo lingine.
poa poa kaka ngojaaa nipitieeee fastaaaa ...........................Tatizo la gari lako ni fuel vapor-loss kwa kukusaidia vizuri na utatuzi wa tatizo lako pitia hapa FUEL VAPOR-LOSS CONTROL VALVE AND SYSTEM - ROGERSON J,US
Soma vizuri uelewe, ukikwama sehemu usisite kuniuliza mkuu.
kaka acha tuuuu ili tatzooo lmeanza sooon maana dereva wangu nilimpa bajeti ya laki 3 na 60 toka ruvuma mbinga hadiii arusha nilimpa hiyo ela na gari ilifika salama mafuta yakabaki nilipigia mahesabu 10 km per litre nika kalculate distance jamaa akatoboa
kuna kipindiiii ilikua inakulaaaa mno 1litre 1km tukakuta nyanya za plug moja tuuu ndio nzima ila gari inachoma fresh maji yanamwagkaaa kwa exhaust ila ilikua inakosa nguuuuvuuuu mlimanii hata kimlima kdogoo tuuu.........................
now ndio imekuja kua hiyoooo na ni rav ya mwingereza kweli.......
ngoja waitest ikishndkana keshoooo nikapeleke waka diagnosis .........
achaaa tuu kuimudu hii hali n haiwezekani tena ngja wataalamu wakafanye yao...................jan nmeshangaa eti mzee ana rav 4 anaweka mafuta ya elfu 5.......Aisee litre 1 km 1 mkuu?Poleni sana hio gari ni zaidj ya V12 labda ni V16 kams ipo mkuu.
achaaa tuu kuimudu hii hali n haiwezekani tena ngja wataalamu wakafanye yao...................jan nmeshangaa eti mzee ana rav 4 anaweka mafuta ya elfu 5.......
2.2 litres nmeshangaaa kwangu ni muujiza.....
Maelezo yako yalikua hayajitoshelezi....kwa iyo tatizo ni kua iyo gari inaenda 13/14 km kwa 4.4 ltrs yani 1L/3.1km??2000cc
kwa hiyo 1 litre km 3 plus na siyo 1 litre km 8 plus kwa hiii gari
izo km 14 inatembea hadi kuzima mafuta nloweka niya elfu 10 ambayo n kama 4.4 litres
kwa iyo 4.4 kwa 14 km ni sawa?